by pelum_admin | Jun 30, 2018 | Stories
Wataalamu 16 toka Halmashauri za Wilaya ya Morogoro, Mvomero, Bahi, Kongwa, Kilolo na Mufindi walio chini ya Idara ya Ardhi, maliasili na mazingira wamejengewa uwezo juu ya utumiaji wa mfumo mpya na rahisi wa upimaji ardhi unaofahamika kwa jina la MAST (Mobile...
by pelum_admin | Jun 30, 2018 | Stories
Wadau wa kilimo Mkoani Morogoro wameishauri Serikali kutambua mfumo usio rasmi wa mbegu ili kuendelea kutunza mbegu za asili kwani inasadikiwa kuwa mfumo huu unachagia zaidi ya asilimia 70 ya mbegu nchini. Akiwasilisha mada juu ya mfumo wa mbegu unaosimamiwa na...
by pelum_admin | Jun 30, 2018 | Stories
Serikali wilayani Ileje imetambua mchango na jitihada zinazofanywa na wakulima wadogo toka vikundi vya amkeni Msiha na sogea ntembo kwa kuzalisha mbegu ya mahindi ya daraja la kuzimiwa ubora (QDS) aina ya situka ambayo kwa sasa zimeanza kutumiwa na wakulima wengi toka...
by pelum_admin | Jun 30, 2018 | Stories
Shirika la PELUM Tanzania kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Mufindi imeanza zoezi la kutoa hatimiliki za kimila zipatazo 747 kwa wananchi wa vijiji vitano ambao wamefanyiwa mpango wa chini ya matumizi ya ardhi kupitia mradi wa ushiriki wa wananchi katika...
by pelum_admin | Jun 30, 2018 | Stories
Halmashauri Mufindi yapitisha Mpango wa Matumizi ya Ardhi Halmashauri ya Mufindi Mkoni Iringa imepitisha Mpango wa Matumizi ya Ardhi kwa vijiji vinne vinavyofanyiwa Mpango huo na Shirika la PELUM Tanzania kwa kushirikiana na shirika wanachama la TAGRODE kupitia mradi...